Tuesday, May 6, 2014

SOMA HAPA KUJUA ALICHOSEMA MSANII FID Q BAADA YA KUPATA TUZO


Kupitia ukurasa wa facebook leo msanii anaewakilisha pande za Mwanza Mwanza Fid Q afunguka haya baada ya kupokea tuzo mbili kwenye music kili awards

Kwema wakubwa wa kazi!!??
Hakika KTMA wamemfurahisha kila mtu mwenye nia nzuri na huu mziki wetu ( ndani na nje ya Tanzania ) kwa uamuzi huu.. Na ndio maana mwaka huu wamevunja rekodi ' ya kutolalamikiwa na mtu yeyote '

No comments:

Speak Your Mind

Powered By Blogger · Designed By Seo Blogger Templates