Tuesday, March 31, 2015

List ya Wanasoka na Makocha Tajiri Dunia,

List ya wachezaji matajiri ambayo imetolewa na Jarida la soka la nchini Ufaransa limetoa orodha ya wanasoka na makocha wenye utajili mkubwa kwasasa ulimwenguni,orodha hiyo kwa upande wa wanasoka inaongozwa na Lionel Messi ikifuatiwa na mpinzani wake Criastiano Ronaldo, utajili huo wa Messi unatokana na jumla ya pesa zote anazozipata kutokana na mshahara pamoja na mikataba aliyosaini na makampuni mbali mbali.

 


Kwa upande wa makocha Mreno Jose Mourinho akashika nafasi ya kwanza akiwa kampiga gepu Carlo Ancelotti kwa Euro 1.8 Million akiwa ni kocha wa Chelsea.


No comments:

Speak Your Mind

Powered By Blogger · Designed By Seo Blogger Templates