Tuesday, March 31, 2015

BREAKING NEWZZ.....ASKARI WAWILI WAUWAWA NA MAJAMBAZI HUKO KONGOWE


Askari wawili wameuawa jana jioni na majambazi huko Kongowe, nje kidogo ya Jiji la Dar
- Inadaiwa mmoja wa majambazi hao alikuwa na panga ndo akampiga askari aliyekuwa na silaha panga la kisogoni askari akazimia na huyo jambazi kuchukua hiyo silaha akafanya mauaji hayo ya askari wawili

No comments:

Speak Your Mind

Powered By Blogger · Designed By Seo Blogger Templates