Sunday, December 21, 2014

HATIMAYE SHILOLE AVISHWA PETE YA UCHUMBA NA NUH MZIWANDA JANA USIKU...TAZAMA PICHA HAPA


Mwigizaji na mwanamziki maarufu wa kike hapa Bongo, Zuwena Mohamed  “Shilole” ambae ni mama wa watoto wawili  usiku huu akishereke siku yake ya kuzaliwa maeneo ya Mikocheni jiji Dar, amevishwa pete ya uchumba na mpenzi wake wa muda mrefu sasa, Nuh Mziwanda ambae pia ni mwanamziki.

No comments:

Speak Your Mind

Powered By Blogger · Designed By Seo Blogger Templates