HATIMAYE SHILOLE AVISHWA PETE YA UCHUMBA NA NUH MZIWANDA JANA USIKU...TAZAMA PICHA HAPA
Mwigizaji
na mwanamziki maarufu wa kike hapa Bongo, Zuwena Mohamed “Shilole”
ambae ni mama wa watoto wawili usiku huu akishereke siku yake ya
kuzaliwa maeneo ya Mikocheni jiji Dar, amevishwa pete ya uchumba na
mpenzi wake wa muda mrefu sasa, Nuh Mziwanda ambae pia ni mwanamziki.
No comments: