Thursday, July 10, 2014

RAIS KIKWETE AVUTIWA NA NGUO ZINAZOTENGENEZWA NA KAMPUNI YA BINTI AFRICA UNIQUE COLORFUL QUALITY

Rais Jakaya Kikwete akichagua mashati yaliyomvutia kwa ubora yanayotengenezwa na Kampuni ya Binti Africa Unique Colorful Quality ya Jijini Dar es Salaam akiongozwa na Ofisa Mtendaji Mkuu na Meneja mwa na mitindo, Johari Kemmy Sadiq (kushoto), Rais alitembelea banda la Binti Africa kwenye Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yaliyomalizika juzi.Wengine Waziri wa Viwanda na Biashara Dk. Abdallah Kigoda wa pili kulia.


RaisJakayaKikwete (pili kulia) akichagua mashati yaliyomvutia kwa ubora yanayotengenezwa na Kampuni ya Binti Africa Unique Colorful Quality ya Jijini Dar es Salaam akiongozwa na Ofisa Mtendaji Mkuu na Meneja mwanamitindo, Johari Kemmy Sadiq (wa pili kushoto), Rais alitembelea banda la Binti Africa kwenye Maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yaliyomalizika juzi. Wengine Mkurugenzi Mkuu wa Tantrade Jacqueline Maleko na Kaimu Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Raymond Mushi (katikati)

No comments:

Speak Your Mind

Powered By Blogger · Designed By Seo Blogger Templates