Sunday, January 26, 2014

UNAFAHAMU NINI JUU HIZI NAMBA ZA JEZI KWENYE TIMU YA MAN UTD NA ATAKACHOKUTANA NACHO MCHEZAJI JUAN MATA BAADA YA KUSAINI MAN UTD

Timu ya Manchester Utd ya Nchini Uingereza yenye maskani yake katika Jiji la Manchester imemaliza uvumi uliokuwa umeenea juu ya Mchezaji Juan Mata  raia wa Spain aliyekuwa mchezaji wa timu ya Cheslea ya nchini Uingereza yenye maskani yake Jijini London.
Man Utd waliweza kumsani mchezaji kwa kitita cha £37.1million 
Mchezaji Juan Mata baada ya kusaini anaweza kukumbana na wakati mgumu juu ya Namba atayovaa kwenye jezi yake na hii ni List juu ya wachezaji waliowahi kupitia katika timu ya Manchester waliokuwa wakivaa jezi Namba 7,8 na 9 ambazo ameambiwa achague kama ataitaji

Jezi namba 7 hapo nyuma iliwahi kuvaliwa na
George Best
Eric Cantona
David Beckham
Christiano Ronaldo

Jezi namba 8 hapo nyuma iliwahi kuvaliwa na
Brian Kidd
Paul Ince 
Nick Butt
Wayne Rooney kabla ya kubadilishiwa na kupewa jezi namba 10

Jezi namba 9 hapo nyuma iliwahi kuvaliwa na
Sir Bobby Charlton
Andy Cole
Dimitar Berbatov

Unaweza kutoa Maoni yako Juu ya Namba itayomfaa Mchezaji huyo

No comments:

Speak Your Mind

Powered By Blogger · Designed By Seo Blogger Templates