Sunday, October 6, 2013

PETITMAN WAKUACHE APATA MAOMBI YA NGUVU KUTOKA KWA MASANJA MKANDAMIZAJI

Ile huduma anayotoa mtumishi Masanja Mkandamizaji kwa sasa ya kukemea,kuondosha machafu,mikosi nk.hivi karibuni mtumishi alifanya maombi ya nguvu kwa msanii Petman Wakuache kama anavyojulikana.
hiyo ndio hali halisi kwa sasa Masanja Mkandamizaji anatoa huduma za kiroho kama unavyomuona hapo
picha kutoka instagram petitman_wakuache

No comments:

Speak Your Mind

Powered By Blogger · Designed By Seo Blogger Templates